Naby Keita (kulia) akiifungia bao la kwanza RB Leipzig dakika ya 37 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig kwenye mchezo wa Bundesliga, huo ukiwa ushindi wao wa kwanza kihistoria dhidi ya vigogo hao wa Ujerumani. Sandro Wagner alianza kuwafungia Bayern Munich dakika ya 12 na bao la ushindi la Leipzig lilifungwa na Timo Werner aliyetokea benchi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Eagles Icon Jason Kelce to Join ESPN's MNF Pregame Show After NFL
Retirement
-
Former Philadelphia Eagles center Jason Kelce is signing with ESPN and will
feature on the network's Monday Night Countdown, according to The
Athletic's…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment