Naby Keita (kulia) akiifungia bao la kwanza RB Leipzig dakika ya 37 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig kwenye mchezo wa Bundesliga, huo ukiwa ushindi wao wa kwanza kihistoria dhidi ya vigogo hao wa Ujerumani. Sandro Wagner alianza kuwafungia Bayern Munich dakika ya 12 na bao la ushindi la Leipzig lilifungwa na Timo Werner aliyetokea benchi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Evacuation alert lifted for Fort Simpson, residents reflect on experiences
-
After being evacuated on June 28, residents are balancing emotions as they
return to daily routines and prioritizing community well-being. CBC's
Jocelyn Sh...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment