Bondia Dereck Chisora akimpiga Mfaransa, Zakaria Azzouzi katika pambano loa utangulizi kabla ya pambano la Dillian Whyte na Lucas Browne usiku wa jana ukumbi wa 02 Arenam London. Chisora alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili kabla ya kwenda kutaka kuziopiga kavu kavu na mpinzani wake wa muda mrefu, David Haye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
1 day ago



.png)
0 comments:
Post a Comment