Msanii wa kike, Preetika Rao maarufu kama 'Aaliyah' baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jioni ya leo kwa ajili ya kupamba usiku wa tuzo za filamu Tanzania, ujulikanao kama SZIFF Jumapili ukumbi wa Mlimani City Jijini.
Aaliyah aliyejipatia umaarufu kupitia tamthiliya ya Beintehaa ambayo imekuwa ikirushwa na Televisheni ya Azam katika lugha ya Kiswahili baada ya kutafsiriwa akivaa kofia yake kwa madaha
Maofisa wa kike wa Azam TV wakimpokea msanii huyo leo
Captain fantastic Bruno Fernandes is Man United's own superhero... the new
era at Old Trafford must be built around their Portuguese superstar, writes
NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: Man United have their very own superhero in captain Bruno
Fernandes and INEOS must ensure the team of the future is built around him
starting ...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment