Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann (kushoto) akigombea mpira na beki wa Colombia, Frank Fabra katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Colombia ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Luis Muriel dakika ya 28, Radamel Falcao dakika ya 62 na Juan Quintero dakika ya 85 kwa penalti, ya Ufaransa iliyomuanzishia benchi kiungo wake Paul Pogba, yakifungwa na Olivier Giroud na Thomas Lemar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Responds After Sasha Banks, Naomi Leave During Monday's WWE Raw
-
During this week's episode of Monday Night Raw, the panned main event was
changed early in the show. Ori
Dakika 49 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni