• HABARI MPYA

    Sunday, March 18, 2018

    HAWA NDIO MABINGWA WA SOKA MKOANI RUKWA KUTOKA SUMBAWANGA

    Kikosi cha timu ya Laela FC ya Sumbawanga, kilichofanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa wa Rukwa Machi 12, mwaka huu baada ya kumaliza Ligi ya Mkoa na pointi 15, moja zaidi ya timu iliyoshika nafasi ya pili na sasa itashiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa itakayoanza mapema Aprili mwaka huu 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAWA NDIO MABINGWA WA SOKA MKOANI RUKWA KUTOKA SUMBAWANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top