Mshambuliaji mkongwe wa Sweden, mwenye umri wa miaka 36, Zlatan Ibrahimovic akifurahia kwenye mazoezi ya LA Galaxy jana baada ya kujiunga nayo rasmi kutoka Manchester United ya England kwa kusaini mkataba wa miezi 18. Ibra anaweza kuanza kucheza Ligi ya Marekani, MLS leo dhidi ya mahasimu wa Los Angeles, LAFC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Middle-class coke heads' convicted of taking or selling drugs at football face five-year bans
-
In a bid to prevent violence and disruption, anyone convicted could also be
ordered to surrender their passports when their team is playing abroad.
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni