Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akizungumza na Wahariri wa vyombo vya Habari leo asubuhi katika hoteli ya SeaScape, Kunduchi, Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Wilfred Kidau
Rais Wallace Karia akichanganua mambo kwa umakini mbele ya Wahariri leo
Dua maalum ya kumuenzi aliyekuwa Mhariri wa Redio Uhuru, Limonga Justin kabla ya kuanza mkutano huo leo
Wahariri Zena Chande wa Habari Leo (kulia) na Grace Hoka wa Bingwa (kushoto) wakiandika hotuba ya Rais Wallace Karia
Mhariri wa Azam TV, Philip Cyprian akiwa kazini
Wahariri mbalimbali wa vyombo vya Habari wakiwa kazini leo
Your cheat sheet to beat the bookies on day one at Cheltenham, JP McManus
is primed for birthday success and Sir Anthony McCoy's marathon challenge:
CHELTENHAM BREAKFAST
-
CHELTENHAM BREAKFAST: Nobody wants to win at Cheltenham more than JP
McManus and it will be fascinating to see how many times he hits the
bullseye this week.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment