Mwanasoka Bora wa Dunia mara tano, Cristiano Ronaldo (kushoto) wa Ureno akijaribu kupiga krosi mbele ya beki wa Uholanzi, Ake (kulia) katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Geneva, Uswisi. Uholanzi ilishinda 3-0 mabao ya Memphis Depay dakika ya 11, Ryan Babel dakika ya 32 na Virgil van Dijk dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police arrest social media influencer for raising false security alarm in
Akwa Ibom
-
Akwa Ibom police arrested a social media influencer for raising a false
security alarm about a bandit invasion that sparked widespread panic among
reside...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment