Gwiji wa Riadha, Mjamaica Usain Bolt akifanya mazoezi na wachezaji wa klabu ya Borussia Dortmund ambayo inadhaminiwa na Puma kama yeye nchini Ujerumani jana. Bolt, ambaye ataiongoza timu ya dunia 'World XI' dhidi ya Robbie Williams wa England katika Soccer Aid mwezi Juni, tayari ameanza mazoezi ya kujiandaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Thomas Tuchel's spine-tingling 'Mount Everest' speech and
presentation to England players is released for the first time - with a
huge indicator over why he snubbed Palmer, Foden and Co
-
The FA have released footage of Thomas Tuchel's maiden speech as England
boss as the FIFA World Cup edges closer.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment