Gwiji wa Riadha, Mjamaica Usain Bolt akifanya mazoezi na wachezaji wa klabu ya Borussia Dortmund ambayo inadhaminiwa na Puma kama yeye nchini Ujerumani jana. Bolt, ambaye ataiongoza timu ya dunia 'World XI' dhidi ya Robbie Williams wa England katika Soccer Aid mwezi Juni, tayari ameanza mazoezi ya kujiandaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Posts Video Shadowboxing with Shannon Briggs in NY Before Jake
Paul Fight
-
Mike Tyson is hard at work preparing for his upcoming bout with Jake Paul.
The former heavyweight champ posted a video of himself shadowboxing with
Shannon…
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment