Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao manne dakika za nne, 43, 77 na 85 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine limefungwa na Mbrazil Roberto Firmino dakika ya 49 na sasa Wekundu hao wanafikisha pointi 63 baada ya kucheza mechi 31 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo, nyuma ya Manchester zote, United pointi 65 na City 81 ambazo hata hivyo zimecheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
79 years of grace and impact: Family, friends, political, business leaders
celebrate Chief Eunice Uzor Kalu at 79
-
It was a day of elegance, gratitude, family affection and national
recognition as political leaders, captains of industry, diplomats, legal
luminaries, c...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment