Bondia bingwa wa dunia wa uzito wa juu, Anthony Joshua ameposti picha hii ya vyakula anavyokula kama vinavyoonekana, ambavyo pia vimeandikwa juu ya picha kulia. Joshua atapanda ulingoni Machi 31 kupigana na bingwa mwenzake wa uzito wa juu, Joseph Parker mjini Cardiff katika pambano la kuunganisha mataji PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Millwall consider legal action over badge on KKK image
-
Millwall consider taking legal action after Westminster City Council used
the club's badge on an illustration of a Ku Klux Klan member.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment