Mshambuliaji Edin Dzeko akimpiga tobo kipa wa Shakhtar Donetsk, Andriy Pyatov kuifungia bao pekee Roma dakika ya 52 ikishinda 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Roma na kufanya sare ya jumla ya 2-2 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Uturuki. Roma inakwenda Robo Fainali kwa faida ya mabao ya ugenini, ikiungana na Juventus, Real Madrid na Sevilla zilizozitoa PSG, Tottenham na Manchetser United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fremantle Dockers veteran Nat Fyfe reveals trip to India on 'healing
journey' has saved his career
-
AFL superstar Nat Fyfe has revealed a trip to India has helped him overcome
some injury setbacks and assisted in regaining his confidence on the
football f...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment