Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiwa na mshambuliaji wake, Alexis Sanchez mazoezini leo viwanja vya Colney, London baada ya kumrejesha nyota huyo kikosi cha kwanza kuelekea mchezo na Crystal Palace kesho Uwanja wa Emirates. Ikumbukwe Wenger alimundoa Mchile hiyo kikosi cha kwanza na kwenda kufanya mazoezi na timu ya watoto akitarajia uhamisho wake kwenda Manchester United ungekamilika mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ICE launches extraordinary breach accusations against Padres coach after
his emotional family branded detention 'unjust'
-
A San Diego Padres minor league coach remains in ICE detention as federal
authorities claim he 'overstayed his welcome' in the United States by eight
years.
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment