Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiwa na mshambuliaji wake, Alexis Sanchez mazoezini leo viwanja vya Colney, London baada ya kumrejesha nyota huyo kikosi cha kwanza kuelekea mchezo na Crystal Palace kesho Uwanja wa Emirates. Ikumbukwe Wenger alimundoa Mchile hiyo kikosi cha kwanza na kwenda kufanya mazoezi na timu ya watoto akitarajia uhamisho wake kwenda Manchester United ungekamilika mapema PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three-time Cheltenham winner Sire Du Berlais suffers fatal injury at
Punchestown... with trainer Gordon Elliott 'absolutely heartbroken'
following death of 'horse of a lifetime'
-
The 12-year-old pulled up three hurdles from the end of the Ladbrokes
Champion Stayers Hurdle at Punchestown on Thursday.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment