Javier Mascherano akipunga mkono kuwaaga mashabiki Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kombe la Mfalme Barcelona ikishinda 2-0 dhidi ya Espanyol. Baada ya kuitumikia Barca kwa miaka karibu nane, Muargentina huyo, Mascherano anahamia Hebei China Fortune kwenda kumalizia soka yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordyn Tyson goes to Saints at 8th overall, giving offense another weapon
-
The Saints got some help for second-year quarterback Tyler Shough.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment