Javier Mascherano akipunga mkono kuwaaga mashabiki Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kombe la Mfalme Barcelona ikishinda 2-0 dhidi ya Espanyol. Baada ya kuitumikia Barca kwa miaka karibu nane, Muargentina huyo, Mascherano anahamia Hebei China Fortune kwenda kumalizia soka yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC addresses reasons behind WASSCE exam delays
-
WAEC has clarified that a fatal auto accident and regional security
challenges caused recent WASSCE exam delays, assuring hitch-free future
conduct.
The...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment