Javier Mascherano akipunga mkono kuwaaga mashabiki Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana wakati wa mchezo wa Kombe la Mfalme Barcelona ikishinda 2-0 dhidi ya Espanyol. Baada ya kuitumikia Barca kwa miaka karibu nane, Muargentina huyo, Mascherano anahamia Hebei China Fortune kwenda kumalizia soka yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea 1-1 Leicester: The Blues drop more points
-
Chelsea dropped more points at Stamford Bridge following a 1-1 draw with
Leicester City on Thursday evening. James Maddison opened the scoring for
the vis...
Dakika 52 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni