Luis Suarez (kushoto) na Lionel Messi (kulia) wakifurahi baada ya wote kufunga mabao manne katika ushindi wa 5-0 wa Barcelona wa 5-0 dhidi ya Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla kwenye mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 64 na 80 na Suarez dakika za 69 na 89 baada ya Ivan Rakitic kufunga la kwanza dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Micron, onsemi, Seagate, Western Digital, and Vishay Intertechnology Shares
Are Falling, What You Need To Know
-
A number of stocks fell in the morning session after the U.S. government
announced new tariffs of 10% to 12.5% on 60 trading partners over concerns
related...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment