Luis Suarez (kushoto) na Lionel Messi (kulia) wakifurahi baada ya wote kufunga mabao manne katika ushindi wa 5-0 wa Barcelona wa 5-0 dhidi ya Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla kwenye mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 64 na 80 na Suarez dakika za 69 na 89 baada ya Ivan Rakitic kufunga la kwanza dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sports ask government to address water pollution
-
Water-based sports across the UK are uniting to call on the government to
take urgent action to address pollution in rivers, lakes and coastal waters.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment