Luis Suarez (kushoto) na Lionel Messi (kulia) wakifurahi baada ya wote kufunga mabao manne katika ushindi wa 5-0 wa Barcelona wa 5-0 dhidi ya Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla kwenye mchezo wa La Liga. Messi alifunga dakika za 64 na 80 na Suarez dakika za 69 na 89 baada ya Ivan Rakitic kufunga la kwanza dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michigan Gov. Gretchen Whitmer endorses Haley Stevens in Democratic US
Senate primary
-
WASHINGTON (AP) — Michigan Gov. Gretchen Whitmer endorsed Rep. Haley
Stevens in the Democratic primary for U.S. Senate on Friday, in a race with
Abdul El-S...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment