Mkurugenzi wa Azam FC, Yussuf Bakhresa (kulia) akimkabidhi Kombe Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker baada ya hafla ya benki hiyo kuongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuidhamini klabu hiyo kwa mwaka wa tano iliyofanyika makao makuu ya taasisi hiyo ya kifedha mjini Dar es Salaam leo
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed akimkabidhi jezi ya timu, Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed akibadilishana nyaraka na udhamini na Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdul Mohammed akisaini mkataba na Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker. Kulia ni Mkurugenzi wa Azam Fc, Yussuf Bakhresa.
Hapa ni Mkurugenzi wa NMB, Ineke Bussemaker na Nahodh wa Azam FC, Himid Mao (kulia)
Trump to deliver remarks to crypto conference on Saturday, White House says
-
WASHINGTON, April 23 (Reuters) - U. President Donald Trump will deliver
remarks to a cryptocurrency conference on Saturday in Palm Beach,
Florida, the Wh...
14 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment