Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza Deportivo Alaves 2-1 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alaves ilitangulia kwa bao la John Guidetti dakika ya 23, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United pair Marcus Rashford and Jadon Sancho are almost certain to miss out on the England squad
-
Gareth Southgate is due to announce his squad ahead of the Three Lions
Nations League matches against Hungary, Germany and Italy next month. Both
Rashford ...
Dakika 38 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni