Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza Deportivo Alaves 2-1 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alaves ilitangulia kwa bao la John Guidetti dakika ya 23, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle & Nottingham Forest join hunt for Rayo Vallecano star
-
A pair of Premier League clubs have set their sights on the signature of a
leading member of the defensive ranks at Spanish outfit Rayo Vallecano.This
come...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment