Kelechi Iheanacho akishangilia na mchezaji mwenzake, Demarai Gray baada ya kufunga mabao mawili dakika za 12 na 29 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Peterborough kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA leo Uwanja wa ABAX mjini Peterborough. Mabao mengine ya Leicester City yamefungwa na Fousseni Diabate mawili pia dakika za tisa na 87 na Wilfred Ndidi dakika ya 90 na ushei na Peterborough limefungwa la Andrew Hughes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michigan Gov. Gretchen Whitmer endorses Haley Stevens in Democratic US
Senate primary
-
WASHINGTON (AP) — Michigan Gov. Gretchen Whitmer endorsed Rep. Haley
Stevens in the Democratic primary for U.S. Senate on Friday, in a race with
Abdul El-S...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment