Kelechi Iheanacho akishangilia na mchezaji mwenzake, Demarai Gray baada ya kufunga mabao mawili dakika za 12 na 29 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Peterborough kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA leo Uwanja wa ABAX mjini Peterborough. Mabao mengine ya Leicester City yamefungwa na Fousseni Diabate mawili pia dakika za tisa na 87 na Wilfred Ndidi dakika ya 90 na ushei na Peterborough limefungwa la Andrew Hughes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment