Kelechi Iheanacho akishangilia na mchezaji mwenzake, Demarai Gray baada ya kufunga mabao mawili dakika za 12 na 29 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya wenyeji, Peterborough kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA leo Uwanja wa ABAX mjini Peterborough. Mabao mengine ya Leicester City yamefungwa na Fousseni Diabate mawili pia dakika za tisa na 87 na Wilfred Ndidi dakika ya 90 na ushei na Peterborough limefungwa la Andrew Hughes PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC addresses reasons behind WASSCE exam delays
-
WAEC has clarified that a fatal auto accident and regional security
challenges caused recent WASSCE exam delays, assuring hitch-free future
conduct.
The...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment