Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann akisikitika baada ya kupoteza nafasi ya kufunga usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan wakifungwa 3-1 na wenyeji Sevilla katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme na kutolewa kwa jumla ya mabao 5-2 kufuatia kufungwa pia 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani kwao. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Sergio Escudero dakika ya kwanza, Ever Banega dakika ya 48 na Pablo Sarabia dakika ya 79, wakati la Atletico lilifungwa na Griezmann dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Mendoza selected No 1 overall by the Raiders in the NFL Draft as
Tom Brady finally gets his franchise quarterback
-
Mendoza, the reigning Heisman Trophy winner, had his name read out first by
NFL Commissioner Roger Goodell in front of thousands of fans in Pittsburgh
on T...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment