Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’, Salvatory Edward (kushoto) akiwa na Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Liberia, Lone Stars, George Weah kabla ta mchezo wa kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika baina ya timu hizo Julai 28 mwaka 1997 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Leo ikiwa ni miaka 20 baadaye, Weah ni rais wa Liberia.
🔢 Martinelli handed new shirt number at Arsenal
-
Arsenal forward Gabriel Martinelli might be changing shirt numbers ahead of
the 2022/23 season. The Brazilian international has been donning the
number 35...
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni