Alfie Mawson akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Swansea City dakika ya 40 Uwanja wa Liberty huku beki ghali, Virgil Van Dijk (wa tatu kulia) na wachezaji wenzake wa Liverpool, Mohamed Salah (kulia) wakionyesha masikitiko yao. Liverpool ililala 1-0 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment