Alfie Mawson akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Swansea City dakika ya 40 Uwanja wa Liberty huku beki ghali, Virgil Van Dijk (wa tatu kulia) na wachezaji wenzake wa Liverpool, Mohamed Salah (kulia) wakionyesha masikitiko yao. Liverpool ililala 1-0 katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC addresses reasons behind WASSCE exam delays
-
WAEC has clarified that a fatal auto accident and regional security
challenges caused recent WASSCE exam delays, assuring hitch-free future
conduct.
The...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment