Kocha wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (wa tatu kutoka kulia) akifuatilia kwa makini mchezo wa timu yake dhidi ya Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Yanga ilishinda 1-0 na leo kwa mara ya tatu Lwandamina hakuwa benchi kwa sababu ya kibali cha kufanyia kazi nchini.
The Hockey Show: Talking Kelly Cup Finals, Championship DNA With Florida
Everblades Broadcaster Jake Maurice
-
Discover how the Florida Everblades built a dynasty in the ECHL as Jake
Maurice breaks down the quest for another title and his family’s winning
legacy.
5 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment