Kocha wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (wa tatu kutoka kulia) akifuatilia kwa makini mchezo wa timu yake dhidi ya Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Yanga ilishinda 1-0 na leo kwa mara ya tatu Lwandamina hakuwa benchi kwa sababu ya kibali cha kufanyia kazi nchini.
Sports ask government to address water pollution
-
Water-based sports across the UK are uniting to call on the government to
take urgent action to address pollution in rivers, lakes and coastal waters.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment