Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajib (kulia) akiondoka na mpira dhidi ya wachezaji wa Ruvu Shooting katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Mshambuliaji chipukizi wa Yanga, Yohanna Oscar Nkomola akiwatoka mabeki wa Ruvu Shooting
Beki wa Yanga, Mwinyi Hajji Mngwali akimpita mshambuliaji wa Ruvu, Abdurahman Mussa aliyelala kujaribu kuokoa
Beki wa Yanga, Hassan Kessy akimpita beki wa Ruvu, Mau Bofu
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akimtoka beki wa Ruvu, Rajab Zahir
Winga wa Yanga, Emmanuel Martin akimuacha chini beki wa Ruvu
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akiwatoka wachezaji wa Ruvu
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimpita Rajab Zahir
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu jana
Kikosi cha Ruvu Shooting katika mchezo wa jana
WWE WrestleMania 41 Announced for Las Vegas Following Rumors on Location
and Dates
-
After weeks of speculation, WWE has finally announced WrestleMania 41 will
be held in Las Vegas. The company confirmed Allegiant Stadium as the host
site for…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment