Cristiano Ronaldo (kulia) na Gareth Bale wakipongezana baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Deportivo La Coruna leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga dakika za 78 na 84, Bale dakika za 42 na 58 wakati mabao mengine ya timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane yamefungwa na Nacho mawili pia dakika za 32 na 88 na Luka Modric dakika ya 68 baada ya Adrian kutangulia kuifungia Deportivo dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bears pin hopes on Williams - meet NFL's next superstar
-
Caleb Williams is carrying the hopes of the Chicago Bears on his shoulders,
but why are fans so excited? Meet the NFL's next big star.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment