Cristiano Ronaldo (kulia) na Gareth Bale wakipongezana baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Deportivo La Coruna leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga dakika za 78 na 84, Bale dakika za 42 na 58 wakati mabao mengine ya timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane yamefungwa na Nacho mawili pia dakika za 32 na 88 na Luka Modric dakika ya 68 baada ya Adrian kutangulia kuifungia Deportivo dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua leads tributes to George Foreman after heavyweight legend's
death at 76 - as Eddie Hearn honours 'the great' boxing icon
-
The family of the former two-time world heavyweight champion confirmed the
tragic news on his Instagram page on Saturday morning.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment