Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool have 'set their sights on the new Mohamed Salah'... with the
Egyptian's future uncertain amid interest from Saudi Arabia
-
There remains uncertainty over Salah's future at Anfield, with the winger
having one year left on his contract and talks over an extension yet to
take place.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment