Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Universal Orlando execs admit that park attendance has been ‘softening’
this summer
-
Executives did not disclose specific attendance numbers, but did note Epic
Universe’s strong early performance
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment