Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Adam Ramsay-Peaty kisses pregnant wife Holly's baby bump as he misses out
on gold and finishes in third place in the 100m breaststroke final at the
Commonwealth Games
-
Adam Ramsay-Peaty kissed pregnant wife Holly as he missed out on his 33rd
major gold medal as he finished in third place in the 100m breaststroke
final at ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment