Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Michy Batshuayi akinyoosha vidole juu kushangilia baada ya kuifungia The Blues mabao mawili dakika za 31 na 44 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Marcos Alonso dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Mendoza selected No 1 overall by the Raiders in the NFL Draft as
Tom Brady finally gets his franchise quarterback
-
Mendoza, the reigning Heisman Trophy winner, had his name read out first by
NFL Commissioner Roger Goodell in front of thousands of fans in Pittsburgh
on T...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment