Jay Rodriguez akifurahia baada ya kuifungia West Bromwich Albion mabao mawili dakika za saba na 11 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, LIverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England Uwanja wa Anfield usiku wa Jumamosi. Bao lingone la West Brom limefungwa na Joel Matip aliyejifunga dakika ya 47, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya tano na Mohamed Salah dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Mendoza selected No 1 overall by the Raiders in the NFL Draft as
Tom Brady finally gets his franchise quarterback
-
Mendoza, the reigning Heisman Trophy winner, had his name read out first by
NFL Commissioner Roger Goodell in front of thousands of fans in Pittsburgh
on T...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment