Kiungo Lassana Diarra akiwa ameshika jezi ya Paris Saint-Germain kufuatia kusaini mkataba wa miezi 18 kama mchezaji huru, baada ya kutokuwa na timu kwa muda tangu aondoke Al Jazira. Diarra amewahi kucheza Chelsea, Arsenal na Portsmouth za Ligi Kuu ya England baada ya kuondoka Real Madrid na PSG inakuwa klabu yake ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordyn Tyson goes to Saints at 8th overall, giving offense another weapon
-
The Saints got some help for second-year quarterback Tyler Shough.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment