• HABARI MPYA

    Thursday, January 25, 2018

    KOCHA WA ZAMANI WA YANGA ANAVYOPIGA KAZI KUBWA ULAYA

    Kocha wa zamani wa Yanga, Mbelgiji Tom Saintfiet (kushoto) akiwa mjini Lausanne, Uswisi wakati wa upangaji wa droo ya michuano mipya ya Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA), iitwayo Ligi ya Mataifa ya UEFA jana ambako alikwenda kuiwakilisha timu yake ya sasa, Malta iliyopangwa na Faroe Islands, Azerbaijan na Kosovo kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Septemba mwaka huu.
    Tom Saintfiet akifuatilia kwa makini droo ya michuano mipya mjini Lausanne, Uswisi jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOCHA WA ZAMANI WA YANGA ANAVYOPIGA KAZI KUBWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top