Mjumbe wa Kamati ya Utandaji ya Simba, Muslah El Ruwaih (kushoto) akishuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yake na Maji Maji ya Songea leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Mohammed Nassor (kulia) akishuhudia timu yake leo
Wapenzi maarufu wa Simba wakishuhudia kwa utulivu burudani ya leo
Mwigizaji nyota Jacob Steven (kushoto) na mwandishi wa Habari, Somoe Ng'itu (kulia) wakifuatilia mchezo wa leo
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment