Mjumbe wa Kamati ya Utandaji ya Simba, Muslah El Ruwaih (kushoto) akishuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yake na Maji Maji ya Songea leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 4-0
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Mohammed Nassor (kulia) akishuhudia timu yake leo
Wapenzi maarufu wa Simba wakishuhudia kwa utulivu burudani ya leo
Mwigizaji nyota Jacob Steven (kushoto) na mwandishi wa Habari, Somoe Ng'itu (kulia) wakifuatilia mchezo wa leo
Erik ten Hag insists Man United will 'move on' after Alejandro Garnacho
apologises for liking critical social media posts... but admits the winger
has 'to learn a lot'
-
Alejandro Garnacho has apologised for the social media 'likes' that led to
him being reprimanded by Manchester United manager Erik ten Hag.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment