Wachezaji wa Simba wakiwa mazoezini leo Uwanja wa mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa duru la Pili la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumapili dhidi ya Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa Jijini
Nahodha John Bocco akimtoka Paul Bukaba mazoezini
Ally Shomary akimpita beki Mghana, Asante Kwasi
Kipa Aishi Manula akijiweka sawa kudaka mpira
Kocha Msaidizim Masoud Juma akikimbia mazoezini
Shiza Kichuya akipiga mpira mbele ya Paul Bukaba
Rangers' Gerard Gallant Calls Out Hurricanes' 'Bulls--t' at End of Game 3
-
The New York Rangers got on the board in their second-round playoff series
against the Carolina Hurricanes with a 3-1 victory in Sunday's Game 3, but
New Y...
Dakika 42 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni