Wachezaji wa Simba wakiwa mazoezini leo Uwanja wa mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa duru la Pili la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumapili dhidi ya Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa Jijini
Nahodha John Bocco akimtoka Paul Bukaba mazoezini
Ally Shomary akimpita beki Mghana, Asante Kwasi
Kipa Aishi Manula akijiweka sawa kudaka mpira
Kocha Msaidizim Masoud Juma akikimbia mazoezini
Shiza Kichuya akipiga mpira mbele ya Paul Bukaba
Keepers: We need to respect Coventry
-
Two of our stoppers are clear on what United's mindset should be at Wembley
on Sunday.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment