Wachezaji wa Simba wakiwa mazoezini leo Uwanja wa mjini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa duru la Pili la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumapili dhidi ya Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa Jijini
Nahodha John Bocco akimtoka Paul Bukaba mazoezini
Ally Shomary akimpita beki Mghana, Asante Kwasi
Kipa Aishi Manula akijiweka sawa kudaka mpira
Kocha Msaidizim Masoud Juma akikimbia mazoezini
Shiza Kichuya akipiga mpira mbele ya Paul Bukaba
'Felt like humiliation' - Egypt reacts to Salah's Liverpool row
-
Mohamed Salah's Liverpool row felt like "humiliation" for Egyptian fans,
who are rallying behind their star man before the Africa Cup of Nations
begins.
48 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment