Wachezaji wa Arsenal, Olivier Giroud na Aaron Ramsey wakiwa wanyonge baada ya kufungwa bao la tatu na Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana wakilala 3-1 mbele ya wenyeji wao hao Uwanja Liberty, Wales. Arsenal walitangulia kwa bao la Nacho Monreal dakika ya 33, kabla ya Sam Clucas kuisawazishia Swansea dakika moja tu baadaye na kufunga la tatu dakika ya 86 kufuatia Jordan Ayew kufunga la pili dakika ya 61. Henrikh Mkhitaryan aliyesajiliwa kwa kubadilishwa na Alexis Samchez aliyekwenda Manchester United alicheza mechi yake ya kwanza Arsenal jana akiingia kuchukua nafasi ya Mohamed Elneny dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Champions League final: How Kylian Mbappe fallout has affected Real Madrid's build-up
-
This was supposed to be a dream week for Real Madrid, but they have spent
lots of time dealing with their failure to sign Kylian Mbappe, says Guillem
Balague.
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni