Alexis Sanchez akipanda ndege na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenda mjini Yeovil, Somerset kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo dhidi ya wenyeji, Yeovil Town Uwanja wa Huish Park. Huo utakuwa mchezo wa kwanza baada ya Sanchez kusajiliwa kutoka Arsenal kwa mshahara wa Pauni 600,000 mapema wiki hii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordyn Tyson goes to Saints at 8th overall, giving offense another weapon
-
The Saints got some help for second-year quarterback Tyler Shough.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment