Alexis Sanchez akipanda ndege na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenda mjini Yeovil, Somerset kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo dhidi ya wenyeji, Yeovil Town Uwanja wa Huish Park. Huo utakuwa mchezo wa kwanza baada ya Sanchez kusajiliwa kutoka Arsenal kwa mshahara wa Pauni 600,000 mapema wiki hii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Monza reveal home and away kits designed by Nike for 2026/27
-
Newly-promoted Monza took the unusual step of unveiling both the home and
away kits for the 2026/27 season together, both designed by Nike.The club
earned ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment