Alexis Sanchez akipanda ndege na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenda mjini Yeovil, Somerset kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo dhidi ya wenyeji, Yeovil Town Uwanja wa Huish Park. Huo utakuwa mchezo wa kwanza baada ya Sanchez kusajiliwa kutoka Arsenal kwa mshahara wa Pauni 600,000 mapema wiki hii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dortmund's Jadon Sancho Wows Fans in UCL Semifinal Leg 1 Win vs. Kylian
Mbappé, PSG
-
Paris Saint-Germain's wait for a Champions League title may drag on for yet
another season. The newly crowned Ligue 1 champions fell 1-0 to Borussia
Dortmund…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment