Alexis Sanchez akipanda ndege na wachezaji wenzake wa Manchester United kwenda mjini Yeovil, Somerset kwa ajili ya mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo dhidi ya wenyeji, Yeovil Town Uwanja wa Huish Park. Huo utakuwa mchezo wa kwanza baada ya Sanchez kusajiliwa kutoka Arsenal kwa mshahara wa Pauni 600,000 mapema wiki hii PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers Rumors: Terry Stotts Interviews for HC Job; Ham, Atkinson to Meet with LA
-
The Los Angeles Lakers hea The Los Angeles Lakers hosted former Portland
Trail Blazers head coach Terry Stotts for an in-person interview on Tuesday
for th...
Dakika 31 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni