Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na wenzake kumpongeza Marcelo baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 84 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Valencia kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Mestalla. Ronaldo naye alifunga mabao mawili, yote kwa penalti dakika za 16 na 38 wakati bao la nne limefungwa na Toni Kroos dakika ya 89, huku la Valencia likifungwa na Santi Mina dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid make first move in pursuit of Chelsea midfielder Enzo Fernandez
- who is valued at £120m
-
Real have long been linked on the assumption that they would be one of the
few clubs in world football who could afford the 25-year-old Argentinian
World C...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment