Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na wenzake kumpongeza Marcelo baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 84 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Valencia kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Mestalla. Ronaldo naye alifunga mabao mawili, yote kwa penalti dakika za 16 na 38 wakati bao la nne limefungwa na Toni Kroos dakika ya 89, huku la Valencia likifungwa na Santi Mina dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michigan Gov. Gretchen Whitmer endorses Haley Stevens in Democratic US
Senate primary
-
WASHINGTON (AP) — Michigan Gov. Gretchen Whitmer endorsed Rep. Haley
Stevens in the Democratic primary for U.S. Senate on Friday, in a race with
Abdul El-S...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment