Granit Xhaka (kulia) akishangilia na Alexandre Lacazette (kushoto) baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 60 ikishinda 2-1 dhidi ya Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea ilitangulia kwa bao la Eden Hazard dakika ya saba, kabla ya Arsenal kusawazisha kwa bao la kujifunga lao Antonio Rudiger dakika ya 12, kufuatia kubabatizwa na mpira uliopigwa na Nacho Monreal. Baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza Stamford Bridge, Arsenal sasa inakwenda Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup ambako itakutana na Manchester City iliyoitoa Bristol City juzi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Irish pub turns their flags upside down to become the UK's first IVORY
COAST boozer for the World Cup - stocking African Guinness and Ivorian food
after 'a joke went too far'
-
The Republic of Ireland failed to qualify for this summer's showpiece in
the USA, Canada, and Mexico after losing to the Czech Republic in the
play-offs on...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment