Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town Uwanja wa The John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao, yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45 na Mohamed Salah dakika ya 78 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Abia police kill 6 kidnappers, free 4 victims
-
From Okey Sampson, Umuahia Police in Abia said they have killed six
kidnappers who have been terrorising the Obingwa axis of Aba and rescued
four kidnapp...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment