Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town Uwanja wa The John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao, yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45 na Mohamed Salah dakika ya 78 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who's Really to Blame for Lakers' 0-3 Playoffs Deficit to Denver Nuggets?
-
When the Los Angeles Lakers jumped out to an 8-0 lead against the Denver
Nuggets in Game 3 of their first-round series, you could almost feel the
script…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment