Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town Uwanja wa The John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao, yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45 na Mohamed Salah dakika ya 78 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Toddler critical after head gets stuck in kitchen play set
-
A 3-year-old is hospitalized in critical condition after their head became
stuck in a kitchen play set, according to Boynton Beach police.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment