Emre Can akiruka juu kushangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 26 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town Uwanja wa The John Smith mjini Huddersfield, West Yorkshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Wekundu hao, yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 45 na Mohamed Salah dakika ya 78 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Adam Ramsay-Peaty kisses pregnant wife Holly's baby bump as he misses out
on gold and finishes in third place in the 100m breaststroke final at the
Commonwealth Games
-
Adam Ramsay-Peaty kissed pregnant wife Holly as he missed out on his 33rd
major gold medal as he finished in third place in the 100m breaststroke
final at ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment