Mchezaji mpya, Philippe Coutinho akimuacha chini beki wa Espanyol wakati akiichezea Barcelona kwa mara ya kwanza baada ya kuingia kutokea benchi kuchukua nafasi ya Iniesta dakika ya 68 katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Mfalme, Barca ikishinda 2-0 Uwanja wa Camp Nou PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Mendoza selected No 1 overall by the Raiders in the NFL Draft as
Tom Brady finally gets his franchise quarterback
-
Mendoza, the reigning Heisman Trophy winner, had his name read out first by
NFL Commissioner Roger Goodell in front of thousands of fans in Pittsburgh
on T...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment