Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling (katikati) akinyoosha vidole juu kushangili baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City leo Uwanja wa Cardiff City katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England. Bao la kwanza lilifungwa na Kevin De Bruyne dakika ya nane huku, Cardiff ikimpoteza mchezaji wake, Joe Bennett aliyetolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Bears New Stadium Plan Projected to Cost $4.6B; Half from Public
Financing
-
The Chicago Bears haven't won a playoff game in 13 years, but they
reportedly plan on asking residents of their city to foot a $2.3 billion
bill to help bu...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment