Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) akiwa jukwaani Uwanja wa Uhuru leo wakati timu yake ikimenyana na Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kutoka sare ya 0-0. Inadaiwa Lwandamina kibali chake cha kufanya kazi nchini kimemaliza muda wake
Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa (kulia) akishuhudia mchezo huo leo. Kushoto ni Samuel Lukumay Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga
Mortified footy star's hilarious gaffe that left Danika Mason in stitches
-
Bulldogs NRL star Viliame Kikau was left red-faced on live television on
Thursday following a post-game interview with Channel Nine presenter Danika
Mason.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment