Kocha Mkuu wa Yanga, Mzambia George Lwandamina (kulia) akiwa jukwaani Uwanja wa Uhuru leo wakati timu yake ikimenyana na Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara na kutoka sare ya 0-0. Inadaiwa Lwandamina kibali chake cha kufanya kazi nchini kimemaliza muda wake
Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa (kulia) akishuhudia mchezo huo leo. Kushoto ni Samuel Lukumay Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Yanga
Devin Booker 'wants to be in New York', claims Stephen A. Smith, after Suns
were swept in the NBA playoffs... hinting at potential move to the Knicks
or Nets
-
Devin Booker wants to play in New York, Stephen A. Smith has said, with the
Suns' future in flux after their early playoff exit.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment