• HABARI MPYA

    Wednesday, January 17, 2018

    ARSENAL YAMUUZA WALCOTT EVERTON KWA PAUNI MILIONI 25

    Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akiwa amevaa jezi ya Everton baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 25 kutoka Arsenal ambao atakuwa analipwa mshahara wa Pauni 110,000 kwa wiki katika miaka mitatu na nusu ya mkataba aliosaini PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAMUUZA WALCOTT EVERTON KWA PAUNI MILIONI 25 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top