Waafrika Jordan Ayew na Wilfried Bony wakishangilia baada ya wote kuifungia Swansea City usiku wa jana Uwanja wa Liberty katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Wolves na kuiwezesha timu yao kwenda Raundi ya Nne ya Kombe la FA England. Ayew alifunga dakika ya 11 na Bonny dakika ya 69, wakati bao la Wolves lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luke Littler continues his red-hot form as he wins the Austrian Open title
after beating Joe Cullen - with Premier League leader lifting his second
PDC European Tour trophy in debut year
-
The 17-year-old produced another top-drawer display as he swept past 'The
Rockstar' 8-4 in the final, hitting four 180s with a match average of just
over 102.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment