Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akitembea kishujaa baada ya kufunga bao la pili la Hispania dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Costa Rica usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki mjini Malaga. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Jordi Alba dakika ya sita, David Silva mawili dakika ya 51 na 55 na Andres Iniesta dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment