Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akitembea kishujaa baada ya kufunga bao la pili la Hispania dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Costa Rica usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki mjini Malaga. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Jordi Alba dakika ya sita, David Silva mawili dakika ya 51 na 55 na Andres Iniesta dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fed: Are rate cuts still on the table amid global economic turmoil?
-
As US stocks (^DJI, ^IXIC, ^GSPC) fall lower in Thursday trading and Middle
East tensions push oil (CL=F, BZ=F) and gas prices (RB=F) higher, now what
is t...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment