Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akitembea kishujaa baada ya kufunga bao la pili la Hispania dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Costa Rica usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki mjini Malaga. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Jordi Alba dakika ya sita, David Silva mawili dakika ya 51 na 55 na Andres Iniesta dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious NFL star Puka Nacua sparks yet more controversy with locker room
tweet that will likely land him a HUGE fine
-
The Rams were on the end of a gutting overtime loss to their rival Seattle
Seahawks on Thursday, with a bizarre two-point conversion at the heart of
the ho...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment