Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akitembea kishujaa baada ya kufunga bao la pili la Hispania dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Costa Rica usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki mjini Malaga. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Jordi Alba dakika ya sita, David Silva mawili dakika ya 51 na 55 na Andres Iniesta dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Tuchel defends his gameplan against Argentina and tells critics it's
'EASY to say that it was wrong' after England's World Cup semi-final
heartbreak
-
MIKE KEEGAN IN ATLANTA: With close to half an hour including stoppage time
to play, Thomas Tuchel withdrew Anthony Gordon for Ezri Konsa and momentum
almos...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment