Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata akitembea kishujaa baada ya kufunga bao la pili la Hispania dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Costa Rica usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki mjini Malaga. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Jordi Alba dakika ya sita, David Silva mawili dakika ya 51 na 55 na Andres Iniesta dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs' Louis Rees-Zammit, Former Rugby Star, Expects a 'Versatile Role' in
NFL
-
Kansas City Chiefs running back Louis Rees-Zammit is gearing up to begin
his NFL career after the rugby star signed with the team in March. While it
will be…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment