Mfungaji bora mpya wa kihistoria wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa penalti dakika ya 50 baada ya Nacho Monreal kumchezea rafu Raheem Sterling katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya 19 na Gabriel Jesus dakika ya 74, ingawa alikuwa ameotea wakati la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 65 baada ya kutokea benchi kuchukua nafasi ya Francis Coquelin dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC’s Danladi Envulu-Anza wins Nasarawa North Senate by-election
-
APC candidate Danladi Halilu Envulu-Anza wins the Nasarawa North Senatorial
by-election with 45,362 votes, defeating rivals in the poll.
The post APC’s D...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment