Kiungo wa Azam FC, Yahya Zayed akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana usiku Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam ilishinda 1-0
Mshambuliaji wa Azam, Mbaraka Yusuph akiwania mpira dhidi ya beki wa Ruvu Shooting
Winga Mghana wa Azam FC, Enock Atta-Agyei akikabiliana na mchezaji wa Ruvu Shooting
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka mchezaji wa Ruvu
Wachezaji wa Azam na Ruvu Shooting wakisalimiana kabla ya mechi
Makamu Mwenyekiti wa Azam, Abdulkarim Amin 'Popat' akiwa na viongozi wenzake jana Chamazi
Inside John Terry's growing property empire as star sells plans for pair of
Surrey mansions on exclusive estate for a cool £5 million
-
John Terry has pocketed more than £5 million after selling off plots for
two mansions he had planned to build, MailOnline can reveal.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment