Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akimruka Gustavo Cabral wa Celta Vigo katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Celta Vigo ilishinda 2-1 ugenini, hicho kikiwa kipigo cha pili mfululizo kwa Real Madrid kufuatia wiki iliyopita pia kufungwa 2-1 na Sevilla katika La Liga baada ya kucheza mechi 40 bila kufungwa. Bao la Real lilifungwa na Marcelo dakika ya 69 wakati ya Celta Vigo yalifungwa na Iago Aspas dakika ya 64 na Jonny Castro dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE Draft 2024 Results: Full Rosters for Raw and SmackDown After Final Picks
-
The 2024 WWE draft officially came to an end with Night 2 being held on
this week's episode of Monday Night Raw. There will be new storylines and
fresh…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment