Lucas Leiva akishangilia baada ya kuifungia Liverpool dakika ya 18 bao pekee katika ushidi wa 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Plymouth kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe La FA England usiku wa jana Uwanja wa Home Park, Plymouth. Divock Origi alikosa penalti dakika ya 87 iliyookolewa na kipa na sasa Liverpool itapambana na timu ya Daraja la Kwanza, Wolves Uwanja wa Anfield katika Raundi ya Nne ya FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bellingham heads England into the lead against Mexico
-
Jude Bellingham gives England the lead over Mexico with a header at the
back post during their last 16 at the Mexico City Stadium.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment