Lucas Leiva akishangilia baada ya kuifungia Liverpool dakika ya 18 bao pekee katika ushidi wa 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Plymouth kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe La FA England usiku wa jana Uwanja wa Home Park, Plymouth. Divock Origi alikosa penalti dakika ya 87 iliyookolewa na kipa na sasa Liverpool itapambana na timu ya Daraja la Kwanza, Wolves Uwanja wa Anfield katika Raundi ya Nne ya FA PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Tee Higgins Eyed Pittman's Contract; Bengals Never Approached
$20M AAV
-
Tee Higgins' future with the Cincinnati Bengals is still up in the air as
he approaches the final season of his current contract, and he reportedly
eyed…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment