Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiuvuta mpira kiutaalamu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo dhidi ya Liverpool Uwanja wa Old Trafford. Ibrahimovic aliifungia Man United bao la kusawazisha dakika ya 84 baada ya James Milner kutangulia kuifungia Liverpool kwa penalti dakika ya 27, kufuatia Paul Pogba kuunawa mpira akimdhibiti Dejan Lovren PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jae'Lyn Withers Announces Return to UNC for 2024-25 Season for Final Year
of CBB
-
North Carolina is getting another member of the 2023-24 ACC regular-season
championship team back for one more year. Forward Jae'Lyn Withers told CBS
Sports'…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment