Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiuvuta mpira kiutaalamu katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo dhidi ya Liverpool Uwanja wa Old Trafford. Ibrahimovic aliifungia Man United bao la kusawazisha dakika ya 84 baada ya James Milner kutangulia kuifungia Liverpool kwa penalti dakika ya 27, kufuatia Paul Pogba kuunawa mpira akimdhibiti Dejan Lovren PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City hotshot, 19, set to leave... and is now weighing up offers from a
host of English clubs
-
The 19-year-old centre forward has been prolific through the youth system,
scoring 61 goals in 97 games.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment