Lionel Messi akiwatoka wachezaji wa Real Sociedad katika mechi ya kwanza ya Robo Fainali Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Anoeta mjini San Sebastian. Barca ilishinda 1-0 nao pekee la Neymar dakika ya 21 kwa penalti, huo ukiwa ushindi wao wa kwanza mjini humo baada ya miaka 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trophyless to treble? Man City's quest for more history
-
Manchester City were in a state of turmoil this time last year – staring at
a first trophyless season since 2017 – but they are now in with a chance of
a d...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment