Lionel Messi akiwatoka wachezaji wa Real Sociedad katika mechi ya kwanza ya Robo Fainali Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Anoeta mjini San Sebastian. Barca ilishinda 1-0 nao pekee la Neymar dakika ya 21 kwa penalti, huo ukiwa ushindi wao wa kwanza mjini humo baada ya miaka 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA considering appeal after Quansah red card
-
The Football Association is considering whether to appeal after England
defender Jarell Quansah's red card against Mexico.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment