Alex Iwobi akishangilia baada ya shuti lake kumbabatiza Jack Cork na kujifungia dakika ya 54 kuipatia Arsenal bao la pili katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji Swansea City leo Uwanja wa Liberty. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Olivier Giroud dakika ya 37, Kyle Naughton aliyejifunga pia dakika ya 67 na Alexis Sanchez dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup Breakfast: Beware, England! Imperious Mexico set up daunting
potential last-16 showdown against Three Lions, Kylian Mbappe breaks
ANOTHER record, match highlights - and what to look out for today
-
Hello and welcome to Daily Mail Sport's World Cup Breakfast from day 20 at
the tournament - your one-stop shop for everything you've missed overnight
in No...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment