Alex Iwobi akishangilia baada ya shuti lake kumbabatiza Jack Cork na kujifungia dakika ya 54 kuipatia Arsenal bao la pili katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji Swansea City leo Uwanja wa Liberty. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Olivier Giroud dakika ya 37, Kyle Naughton aliyejifunga pia dakika ya 67 na Alexis Sanchez dakika ya 73 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Guardiola credits 'dry pitch' for Man City win
-
Manchester City manager Pep Guardiola believes the City Ground's 'dry
pitch' helped his side in their 2-0 win against Nottingham Forest in the
Premier League.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment