Beki Marcos Alonso (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake, Victor Moses (kushoto) na Gary Cahill (kulia) baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za sita na 51 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Leicester City Uwanja wa King Power usiku wa Jumamosi kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Pedro dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp offers curt response when questioned about sideline spat with
Mohamed Salah during draw at West Ham... as the furious forward warns 'If I
speak, there will be fire!'
-
Klopp dropped Salah for the pivotal visit to London and the Egyptian
striker was fuming at the decision, with the two having a sideline spat.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment