Beki Marcos Alonso (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake, Victor Moses (kushoto) na Gary Cahill (kulia) baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za sita na 51 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji Leicester City Uwanja wa King Power usiku wa Jumamosi kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Pedro dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal star becomes second player to be sent off at World Cup for covering
his mouth - as Ecuador are knocked out at the last-32 stage by Mexico
-
Piero Hincapie's impressive season for club and country ended on a sour
note on Tuesday night as he was sent off during Ecuador's World Cup exit.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment