Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akifumua shuti kuifungia timu yake bao la nne na la tatu kwake katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya West Brom jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Spurs imeshinda 4-0, Kane akifunga dakika za 12, 78 na 82, wakati lingine beki Gareth McAuley alijifunga dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks Rumors: Bojan Bogdanović Has Wrist Ligament Damage; Will Play
Through Injury
-
New York Knicks forward Bojan Bogdanović is reportedly dealing with
ligament damage in his left wrist but will continue to play despite the
injury. Michael…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment