Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akifumua shuti kuifungia timu yake bao la nne na la tatu kwake katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya West Brom jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Spurs imeshinda 4-0, Kane akifunga dakika za 12, 78 na 82, wakati lingine beki Gareth McAuley alijifunga dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigerian Newspapers: Major stories on Wednesday
-
Good morning to readers. Daily Sun brings you the major stories from
Nigerian Newspapers from across the country.
The post Nigerian Newspapers: Major sto...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment